iqna

IQNA

isis au daesh
Ugaidi
IQNA-Kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) limedai kuhusika na hujuma ya kigaidi ambaye imepelekea watu wasiopunua 115 kupoteza maisha Moscow, mji mkuu wa Russia,
Habari ID: 3478562    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/23

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
IQNA-Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amezungumzia jinai ya kigaidi ya Kerman na kukiri kundi la kigaidi la ISIS au Daesh kuhusika na hujuma hiyo na kusema: ISIS ni chombo cha Marekani na utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3478153    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/05

Ugaidi wa Marekani
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali jinai ya hivi karibuni ya kundi la kigaidi la ISIS au Daesh katika viunga vya mji wa Homs nchini Syria na kusema: "Utawala wa Marekani unafuatilia sera za undumakuwili katika masuala ya kimataifa ikiwa ni pamoja na mapambano dhidi ya ugaidi."
Habari ID: 3476586    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/19

Jinai ya magaidi
TEHRAN (IQNA)- Raia wasiopungua 53 wameuawa katika shambulio linaloaminika kufanywa na magaidi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika mkoa wa Homs, magharibi mwa Syria.
Habari ID: 3476579    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/18

Jinai za Daesh
TEHRAN (IQNA) - Kundi la kigaidi la Daesh (ISIL au ISIS) lilidai kuhusika na shambulio la bomu katika kanisa moja mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) siku ya Jumapili.
Habari ID: 3476413    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/16

Vita dhidi ya ugaidi
TEHRAN (IQNA)- Mahakama moja nchini Libya imewahukumu kifo magaidi 17 waliokuwa wamejiunga na kundi la kigaidi la ISIS (Daesh).
Habari ID: 3476279    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/20

Ugaidi wa Daesh
TEHRAN (IQNA) - Katika ripoti yake, Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch lilisema kuwa kundi tanzu la Daesh (ISIS au ISIL) nchini Afghanistan linalenga makundi ya Waislamu waliowachache Afghanistan kama vile Mashia wa kabila la Hazara.
Habari ID: 3475749    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/08

Wamagharibi na ugaidi
TEHRAN (IQNA)- Mwandishi wa kitabu kilichochapishwa hivi karibuni amefichua jukumu la idara ya kijasusi ya Kanada (Canada) katika kutuma wasichana kwenda kujiunga na kundi la kigaidi la Daesh au ISIS na kusisitiza kuwa serikali ya Uingereza ilijua jukumu la Kanada katika kashfaa hii lakini ikajizuia kuifichua.
Habari ID: 3475710    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/31

Ugaidi Marekani
TEHRAN (IQNA) – Mmarekani mmoja katika jimbo la New Mexico nchini Marekani ameshtakiwa kwa kujaribu kuanzisha kituo cha mafunzo kwa watu wanaotaka kujiunga na kundi la kigaidi la Daesh (ISIL au ISIS).
Habari ID: 3475692    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/28

Ugaidi wa wakufurushaji
TEHRAN (IQNA)- Kundi la kigaidi la Daesh au kwa jina jingine ISIS, limekiri kuhusika na mlipuko uliotokea jana Ijumaa huko Kabul, mji mkuu wa Afghanistan, ambao ulipelekea watu 8 kuuawa shahidi na wengine 18 kujeruhiwa.
Habari ID: 3475585    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/06

Hali nchini Afghanistan
TEHRAN (IQNA)- Maafisa wa Afghanistan wanasema idadi ya watu waliouwawa kufuatia mashambulizi manne ya mabomu yaliyofanyika kwenye basi dogo na msikitini nchini humo imefikia watu 16.
Habari ID: 3475298    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/26

TEHRAN (IQNA)- "Afrika sasa inalengwa kama nomge ya kwanza ya kundi la kigaidi la ISISI au Daesh na makundi ya kigaidi," amesema Nasser Bourita, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Morocco katika ufunguzi wa mkutano wa mawaziri wa Muungano wa Kimataifa wa Kupambana na ISIS nchini Morocco, na kupongeza juhudi za kimataifa za kupambana na kundi hilo.
Habari ID: 3475238    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/11

TEHRAN (IQNA) – Profesa mshiriki wa Chuo Kikuu cha Colgate ametaja uingiliaji kati wa nchi za Magharibi kama moja ya sababu kuu za kuongezeka kwa ugaidi wenye itikadi kali barani Afrika.
Habari ID: 3475075    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/26

TEHRAN (IQNA)- Jumamosi usiku magaidi walishambulia mtaa wa Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji wa Herat nchini Afghanistan ambapo watu wasiopungua saba waliuawa na wengine 10 walojeruhiwa.
Habari ID: 3474842    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/23

TEHRAN (IQNA)- Rais Barham Salih wa Iraq amesema mashahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani na Abu Mahdi al Muhandis walikuwa na nafasi muhimu sana katika vita dhidi ya magaidi nchini humo hasa magaidi wa ISIS au Daesh.
Habari ID: 3474769    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/05

Sayyid Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kitendo cha kupuuza uwepo wa vikosi vamizi vya Marekani nchini Iraq, ni sawa na kuuawa shahidi kwa mara ya pili Luteni Jenerali Qasem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3474763    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/04

TEHRAN (IQNA)- Watu wasiopungua 25 wameuawa kufuatia hujuma ya magaidi wa kundi Boko Haram wanaofungamana na kundi la kigaidi la ISIS Tawi la Afrika Magharibi (ISWAP) katika hujuma dhidi ya kijiji kimoja katika mji wa Askira Uba katika jimbo la Borno Kaskazini mwa Nigeria.
Habari ID: 3474700    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/20

Hujjatul Islam Shahriyari
TEHRAN (IQNA)- Hujjatul Islam wal Muslimin Shahriari amesema itikadi ya Ukufurishaji ni kati ya njama za mabeberu na Wazayuni dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3474640    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/04

TEHRAN (IQNA)- Magaidi wa kundi la ISIS au Daesh wameua askari saba wa Jeshi la Nigeria kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3474639    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/04

TEHRAN (IQNA)- Magaidi 65 wa kundi la ISIS au Daesh wamejisalimisha katika mkoa wa Nangarhar mashariki mwa Afghanistan katika eneo la mpaka wa nchi hiyo na Pakistan.
Habari ID: 3474500    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/01